Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 50:8-14 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 50:8-14 in Biblia ya Kiswahili

8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
Zaburi 50 in Biblia ya Kiswahili