Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 49:2-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 49:2-5 in Biblia ya Kiswahili

2 wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
Zaburi 49 in Biblia ya Kiswahili