2wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?