Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 49:14-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 49:14-16 in Biblia ya Kiswahili

14 Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao.
15 Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. Selah
16 Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
Zaburi 49 in Biblia ya Kiswahili