Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 48:2-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 48:2-6 in Biblia ya Kiswahili

2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Zaburi 48 in Biblia ya Kiswahili