Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 45:11-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 45:11-15 in Biblia ya Kiswahili

11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Zaburi 45 in Biblia ya Kiswahili