11Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.