Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 39:10-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 39:10-12 in Biblia ya Kiswahili

10 Acha kunijeruhi; nimezidiwa na pigo la mkono wako.
11 Wewe unapowaadhibu watu kwa ajili ya dhambi, huvila kama nondo vitu vyao wavitamanivyo; hakika watu si kitu bali mvuke. Serah
12 Sikia maombi yangu, Yahwe, na unisikilize; usikie kilio changu! Usiwe kiziwi kwangu, kwa maana niko kama mgeni pamoja nawe, kimbilio langu la usalama kama mababu zangu walivyokuwa.
Zaburi 39 in Biblia ya Kiswahili