Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 39

Zaburi 39:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Acha kunijeruhi; nimezidiwa na pigo la mkono wako.
11Wewe unapowaadhibu watu kwa ajili ya dhambi, huvila kama nondo vitu vyao wavitamanivyo; hakika watu si kitu bali mvuke. Serah
12Sikia maombi yangu, Yahwe, na unisikilize; usikie kilio changu! Usiwe kiziwi kwangu, kwa maana niko kama mgeni pamoja nawe, kimbilio langu la usalama kama mababu zangu walivyokuwa.

Read Zaburi 39Zaburi 39
Compare Zaburi 39:10-12Zaburi 39:10-12