Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 37:6-14 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 37:6-14 in Biblia ya Kiswahili

6 Yeye ataidhihilisha haki yako kama mchana na usafi wako kama mwangaza wa mchana.
7 Uwe kumya mbele za Yahwe na umsubiri yeye kwa uvumilivu. Usikasirike ikiwa kuna mtu anafanikiwa kwa kile afanyacho, au afanyapo njama za uovu.
8 Usikasilile na kugadhabika. Usiogope. Hii huleta matatizo tu.
9 Watendao maovu watafutiliwa mbali, bali wale wamngojao Yahwe watairithi nchi.
10 Katika muda mfupi mtu mwovu atatoweka; wewe utatazama mahali pake, wala hautamuona.
11 Lakini wapole watairithi nchi nao watafurahia katika mafanikio makubwa.
12 Mtu mwovu hupanga njama kinyume na mwenye haki na kumsagia meno.
13 Bwana humcheka, kwa maana anaona siku yake inakuja.
14 Waovu wametoa nje panga zao na wametayarisha pinde zao ili kuwaangamiza wanyonge na wahitaji, na kuwaua wenye haki.
Zaburi 37 in Biblia ya Kiswahili