3 Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6 Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7 Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.