3Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.