Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 22

Zaburi 22:3-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.

Read Zaburi 22Zaburi 22
Compare Zaburi 22:3-7Zaburi 22:3-7