Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 22:1-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 22:1-5 in Biblia ya Kiswahili

1 Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2 Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3 Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
Zaburi 22 in Biblia ya Kiswahili