Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 22

Zaburi 22:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.

Read Zaburi 22Zaburi 22
Compare Zaburi 22:1-5Zaburi 22:1-5