Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 19:12-14 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 19:12-14 in Biblia ya Kiswahili

12 Ni nani ambaye aweza kuyatambua makosa yake yote mwenyewe? Unitakase makosa yaliyo fichika.
13 Pia umuepushe mtumishi wako na dhambi za majivuno; usiziruhusu kunitawala. Ndipo nitakuwa mkamilifu, na mimi sitakuwa na hatia ya makosa mengi.
14 Maneno ya midomo yangu na mawazo ya moyo wangu nayakubalike machoni pako, ewe Yahwe, mwamba wangu na mkombozi wangu.
Zaburi 19 in Biblia ya Kiswahili