Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 16:1-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 16:1-9 in Biblia ya Kiswahili

1 Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
2 Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
3 Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
4 Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
5 Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
6 Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
7 Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
8 Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
9 Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
Zaburi 16 in Biblia ya Kiswahili