Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 139:19-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 139:19-24 in Biblia ya Kiswahili

19 Ee Mungu, kama ungewaua waovu; ondokeni kwangu enyi watu wenye vurugu.
20 Wanakuasi wewe na kutenda udanganyifu; adui zako wananena uongo.
21 Je, siwachukii hao, wale wakuchukiao Yahwe? Je, siwadharau wale wanao inuka dhidi yako?
22 Nawachukia kabisa; wamekuwa adui zangu.
23 Ee Mungu, unichunguze na kuujua moyo wangu; unijaribu na uyajue mawazo yangu.
24 Uone kama kuna njia ya uovu ndani yangu, na uniongoze katika njia ya milele.
Zaburi 139 in Biblia ya Kiswahili