Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 119:99-106 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 119:99-106 in Biblia ya Kiswahili

99 Ninauelewa zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa maana ninazitafakari amri za agano lako.
100 Ninaelewa kuliko wale wanaonizidi umri; hii ni kwa sababu nimeyashika maagizo yako.
101 Nimeiepusha miguu yangu na kila njia ya uovu ili niweze kulitii neno lako.
102 Sijaenda kinyume na amri zako za haki, kwa maana wewe umenifundisha.
103 Ni jinsi gani maneno yako ni matamu kwenye majaribu yangu, naam, matamu kuliko asali kinywani mwangu!
104 Kupitia maagizo yako ninapata utambuzi; kwa hiyo kila njia isiyo ya kweli.
105 Neno lako ni taa ya mguu miguu yangu na mwanga wa njia yangu.
106 Nimeapa na nimethibitisha, kuwa nitazitii amri za haki yako.
Zaburi 119 in Biblia ya Kiswahili