Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:99-106

Help us?
Click on verse(s) to share them!
99Ninauelewa zaidi kuliko walimu wangu wote, kwa maana ninazitafakari amri za agano lako.
100Ninaelewa kuliko wale wanaonizidi umri; hii ni kwa sababu nimeyashika maagizo yako.
101Nimeiepusha miguu yangu na kila njia ya uovu ili niweze kulitii neno lako.
102Sijaenda kinyume na amri zako za haki, kwa maana wewe umenifundisha.
103Ni jinsi gani maneno yako ni matamu kwenye majaribu yangu, naam, matamu kuliko asali kinywani mwangu!
104Kupitia maagizo yako ninapata utambuzi; kwa hiyo kila njia isiyo ya kweli.
105Neno lako ni taa ya mguu miguu yangu na mwanga wa njia yangu.
106Nimeapa na nimethibitisha, kuwa nitazitii amri za haki yako.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:99-106Zaburi 119:99-106