Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 119:47-53 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 119:47-53 in Biblia ya Kiswahili

47 Ninafurahia katika amri zako, nizipendazo sana.
48 Nitaziinulia mikono yangu amri zako, nizipendazo; nitazitafakari sheria zako. ZAYIN.
49 Kumbuka ahadi yako kwa mtumishi wako kwa sababu umenipa tumaini.
50 Hii ni faraja yangu katika mateso: kuwa ahadi yako imeniweka hai.
51 Wenye kiburi wamenicheka, lakini sijaiacha sheria yako.
52 Nimezitafakari amri zako za haki tangu zamani, Yahwe, nami ninajifariji mwenyewe.
53 Hasira kali imenishikilia kwa sababu ya waovu wanaoikataa sheria yako.
Zaburi 119 in Biblia ya Kiswahili