Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:47-53

Help us?
Click on verse(s) to share them!
47Ninafurahia katika amri zako, nizipendazo sana.
48Nitaziinulia mikono yangu amri zako, nizipendazo; nitazitafakari sheria zako. ZAYIN.
49Kumbuka ahadi yako kwa mtumishi wako kwa sababu umenipa tumaini.
50Hii ni faraja yangu katika mateso: kuwa ahadi yako imeniweka hai.
51Wenye kiburi wamenicheka, lakini sijaiacha sheria yako.
52Nimezitafakari amri zako za haki tangu zamani, Yahwe, nami ninajifariji mwenyewe.
53Hasira kali imenishikilia kwa sababu ya waovu wanaoikataa sheria yako.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:47-53Zaburi 119:47-53