25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26 Amamu, shema, Molada,
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29 Baala, Limu, Ezemu,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera (ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,