Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 9:5-7 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 9:5-7 in Biblia Takatifu

5 Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu.”
6 Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni,
7 akamwambia, “Nenda ukanawe katika bwawa la Siloamu.” (maana ya jina hili ni “aliyetumwa”). Basi, huyo kipofu akaenda, akanawa, kisha akarudi akiwa anaona.
Yohana 9 in Biblia Takatifu

Yohana 9:5-7 in Biblia ya Kiswahili

5 Wakati niwapo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”
6 Baada ya Yesu kusema maneno haya, alitema kwenye ardhi, alifanya tope kwa mate, na akampaka yule mtu machoni na lile tope.
7 Akamwambia, nenda kaoge katika kisima cha Siloam (Inayotafsiriwa kama 'aliyetumwa').” Kwa hiyo huyo mtu alienda, akanawa, na akarudi, anaona.
Yohana 9 in Biblia ya Kiswahili