Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 9:22 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 9:22 in Biblia Takatifu

22 Wazazi wake walisema hivyo kwa sababu waliwaogopa viongozi wa Wayahudi kwani viongozi hao walikuwa wamepatana ya kwamba mtu yeyote atakayekiri kwamba Yesu ni Kristo atafukuzwa nje ya sunagogi.
Yohana 9 in Biblia Takatifu

Yohana 9:22 in Biblia ya Kiswahili

22 Wazazi wake walisema mambo haya, kwa sababu waliwaogopa Wayahudi. Kwa vile Wayahudi walikuwa wamekubaliana tayari kuwa, ikiwa yeyote atakiri kuwa Yesu ni Kristo, atatengwa na Sinagogi.
Yohana 9 in Biblia ya Kiswahili