Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:48-50 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:48-50 in Biblia Takatifu

48 Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
49 Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!”
50 Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:48-50 in Biblia ya Kiswahili

48 Kuna yeyote kati ya watawala anayemwamini, au yeyote wa Mafarisayo?
49 Bali hawa makutano wasiojua sheria - wamelaaniwa.”
50 Nikodemo akawaambia (yeye aliyemwendea Yesu zamani, akiwa mmoja wa Mafarisayo),
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili