Text copied!
BREAK EVERY YOKE
About
Bibles
All Languages
All Translations
All Countries
Back to Homepage
About Break Every Yoke
Bibles in Swahili (individual language)
Yohana 7:48-50 in Swahili (individual language)
Help us?
Yohana 7:48-50
in
Biblia Takatifu
48
Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini?
49
Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!”
50
Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia,
Yohana 7 in Biblia Takatifu
Yohana 7:48-50
in
Biblia ya Kiswahili
48
Kuna yeyote kati ya watawala anayemwamini, au yeyote wa Mafarisayo?
49
Bali hawa makutano wasiojua sheria - wamelaaniwa.”
50
Nikodemo akawaambia (yeye aliyemwendea Yesu zamani, akiwa mmoja wa Mafarisayo),
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili
Home
About
Donate
Patreon
Privacy
Terms