Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 7:2-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 7:2-5 in Biblia Takatifu

2 Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia.
3 Basi ndugu zake wakamwambia, “Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya.
4 Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu.”
5 (Hata ndugu zake hawakumwamini!)
Yohana 7 in Biblia Takatifu

Yohana 7:2-5 in Biblia ya Kiswahili

2 Sasa sikukuu ya Wayahudi, sikukuu ya Vibanda, ilikuwa karibu.
3 Ndipo ndugu zake walipomwambia, “Ondoka mahali hapa uende Uyahudi, ili kwamba wanafunzi wako vile vile wayaone matendo ufanyayo.
4 Hakuna afanyaye lolote kwa siri iwapo yeye mwenyewe anataka kujulikana wazi. Iwapo unafanya mambo haya, jionyeshe mwenyewe kwa ulimwengu.”
5 Hata ndugu zake pia hawakumwamini.
Yohana 7 in Biblia ya Kiswahili