Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 6:31-32 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 6:31-32 in Biblia Takatifu

31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.”
32 Yesu akawaambia, “Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi mkate halisi kutoka mbinguni.
Yohana 6 in Biblia Takatifu

Yohana 6:31-32 in Biblia ya Kiswahili

31 Baba zetu walikula manna jangwani, kama ilivyo andikwa, “Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.”
32 Kisha Yesu akawajibu, “Amini, amini, sio Musa aliyewapa mkate kutoka mbinguni, bali Baba yangu ndiye awapaye mkate wa kweli kutoka mbinguni.
Yohana 6 in Biblia ya Kiswahili