Text copied!
BREAK EVERY YOKE
About
Bibles
All Languages
All Translations
All Countries
Back to Homepage
About Break Every Yoke
Bibles in Swahili (individual language)
Yohana 6:30-31 in Swahili (individual language)
Help us?
Yohana 6:30-31
in
Biblia Takatifu
30
Hapo wakamwambia, “Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani?
31
Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: Aliwalisha mkate kutoka mbinguni.”
Yohana 6 in Biblia Takatifu
Yohana 6:30-31
in
Biblia ya Kiswahili
30
Basi wakamwambia, “Ni ishara zipi utakazofanya, kwamba tunaweza kuziona na kukuamini? Utafanya nini?
31
Baba zetu walikula manna jangwani, kama ilivyo andikwa, “Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale.”
Yohana 6 in Biblia ya Kiswahili
Home
About
Donate
Patreon
Privacy
Terms