Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 5:8-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 5:8-9 in Biblia Takatifu

8 Yesu akamwambia, “Inuka, chukua mkeka wako utembee.”
9 Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato.
Yohana 5 in Biblia Takatifu

Yohana 5:8-9 in Biblia ya Kiswahili

8 Yesu akamwambia, “Inuka na uchukue godoro lako na uende.”
9 Mara yule mtu akaponywa, akachukua kintanda chake na akaenda. Na siku hiyo ilikuwa siku ya Sabato.
Yohana 5 in Biblia ya Kiswahili