Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 5:40-44 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 5:40-44 in Biblia Takatifu

40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima.
41 “Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu.
42 Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu.
43 Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea.
44 Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu?
Yohana 5 in Biblia Takatifu

Yohana 5:40-44 in Biblia ya Kiswahili

40 hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima wa milele.
41 Sipokei sifa kutoka kwa watu,
42 lakini ninajua kuwa hamna upendo wa Mungu ndani yenu ninyi wenyewe.
43 Nimekuja kwa jina la Baba yangu, hamukuweza kunipokea. Kama mwingine akija kwa jina lake mngempokea.
44 Je mnawezaje kuamini ninyi ambao mnapokea sifa kutoka kwa kila mmoja wenu lakini hamtafuti sifa itokayo kwa Mungu wa pekee?
Yohana 5 in Biblia ya Kiswahili