Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 4:37-38 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 4:37-38 in Biblia Takatifu

37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: Mmoja hupanda na mwingine huvuna.
38 Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao.”
Yohana 4 in Biblia Takatifu

Yohana 4:37-38 in Biblia ya Kiswahili

37 Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.'
38 Niliwatuma kuvuna ambacho hamkukihangaikia, Wengine wamefanya kazi na ninyi mmeingia katika furaha ya kazi yao.”
Yohana 4 in Biblia ya Kiswahili