Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 4:1-3 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 4:1-3 in Biblia Takatifu

1 Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane.
2 (Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
3 Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;
Yohana 4 in Biblia Takatifu

Yohana 4:1-3 in Biblia ya Kiswahili

1 Basi Yesu alipofahamu kuwa Mafarisayo wamesikia kuwa Yesu alikuwa anafuasa na kuwabatiza zaidi ya Yohana,
2 (ingawa Yesu mwenyewe alikuwa habatizi ila wanafunzi wake),
3 alitoka Judea na akaenda Galilaya.
Yohana 4 in Biblia ya Kiswahili