Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 2:21-23 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 2:21-23 in Biblia Takatifu

21 Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake.
22 Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini Maandiko Matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema Yesu.
23 Yesu alipokuwa Yerusalemu kwa sikukuu ya Pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya.
Yohana 2 in Biblia Takatifu

Yohana 2:21-23 in Biblia ya Kiswahili

21 Ingawa, yeye aliongea hekalu akimaanisha mwili wake.
22 Hivyo baadaye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka kuwa alisema hivyo, wakaamini maandiko na kauli hii ambayo Yesu alikuwa amekwisha kuisema.
23 Basi alipokuwa Yerusalemu wakati wa Pasaka, wakati wa sikukuu watu wengi waliamini jina lake, walipoona ishara ya miujiza aliyoifanya.
Yohana 2 in Biblia ya Kiswahili