Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 2:16 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 2:16 in Biblia Takatifu

16 Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, “Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!”
Yohana 2 in Biblia Takatifu

Yohana 2:16 in Biblia ya Kiswahili

16 Kwa wauzaji wa njiwa akawambia, “Toeni vitu hivi mbali na mahali hapa, acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa mahali pa soko.”
Yohana 2 in Biblia ya Kiswahili