Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 20:21-23 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 20:21-23 in Biblia Takatifu

21 Yesu akawaambia tena, “Amani kwenu! Kama vile Baba alivyonituma mimi, nami nawatuma ninyi.”
22 Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwaambia, “Pokeeni Roho Mtakatifu.
23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowaondolea, hawasamehewi.”
Yohana 20 in Biblia Takatifu

Yohana 20:21-23 in Biblia ya Kiswahili

21 Kisha Yesu akawaambia tena, “Amani iwe nanyi. Kama vile Baba alivyonituma mimi, vivyo hivyo nami nawatuma ninyi.”
22 Yesu alipokwisha sema hayo, akawavuvia akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.
23 Yeyote mmsameheye dhambi, wamesamehewa; na wale mtakaowafungia watafungiwa.”
Yohana 20 in Biblia ya Kiswahili