Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 20:2-4 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 20:2-4 in Biblia Takatifu

2 Basi, akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, akawaambia, “Wamemwondoa Bwana kaburini, na wala hatujui walikomweka.”
3 Petro pamoja na yule mwanafunzi mwingine wakaenda kaburini.
4 Wote wawili walikimbia lakini yule mwanafunzi mwingine alikimbia mbio zaidi kuliko Petro, akatangulia kufika kaburini.
Yohana 20 in Biblia Takatifu

Yohana 20:2-4 in Biblia ya Kiswahili

2 Kwa hiyo akakimbia mbio kwenda kwa Simon Petro na kwa yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda, kisha akawaambia, “wamemchukua Bwana kaburini, nasi hatujui kule walikomlaza.”
3 Kisha Petro na yule mwanafunzi mwingine wakatoka, kuelekea kaburini.
4 Wote walipiga mbio kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine alikimbia kwa kasi zaidi ya Petro nakufika kaburini wa kwanza.
Yohana 20 in Biblia ya Kiswahili