Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 1

Yohana 1:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Kwa njia yake vitu vyote viliumbwa; hakuna hata kiumbe kimoja kilichoumbwa pasipo yeye.
4Yeye alikuwa chanzo cha uhai na uhai huo ulikuwa mwanga wa watu.
5Na mwanga huo huangaza gizani, nalo giza halikuweza kuushinda.

Read Yohana 1Yohana 1
Compare Yohana 1:3-5Yohana 1:3-5