Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 19:36-37 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 19:36-37 in Biblia Takatifu

36 Jambo hilo lilitendwa ili Maandiko Matakatifu yatimie: “Hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”
Yohana 19 in Biblia Takatifu

Yohana 19:36-37 in Biblia ya Kiswahili

36 Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, “Hakuna hata wake mmoja utakaovunjwa.”
37 Tena andiko lingine husema, “Watamtazama yeye waliyemchoma”
Yohana 19 in Biblia ya Kiswahili