Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 19:32-33 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 19:32-33 in Biblia Takatifu

32 Basi, askari walikwenda, wakaivunja miguu ya yule mtu wa kwanza na yule wa pili ambao walikuwa wamesulubiwa pamoja na Yesu.
33 Lakini walipomfikia Yesu waliona kwamba alikwisha kufa, na hivyo hawakumvunja miguu.
Yohana 19 in Biblia Takatifu

Yohana 19:32-33 in Biblia ya Kiswahili

32 Ndipo askari walipokuja na kuvunja miguu ya mtu wa kwanza na wa pili aliyekuwa amesulibiwa pamoja na Yesu.
33 Walipomfikia Yesu, walimkuta tayari alikuwa amekwisha kufa, kwa hiyo hawakuvunja miguu yake.
Yohana 19 in Biblia ya Kiswahili