Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 19:28-29 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 19:28-29 in Biblia Takatifu

28 Yesu alijua kwamba yote yalikuwa yametimia; na, ili Maandiko Matakatifu yapate kutimia, akasema, “Naona kiu.”
29 Hapo palikuwa na bakuli limejaa siki. Basi, wakachovya sifongo katika hiyo siki, wakaitia juu ya ufito wa husopo, wakamwekea mdomoni.
Yohana 19 in Biblia Takatifu

Yohana 19:28-29 in Biblia ya Kiswahili

28 Baada ya hilo, Hali Yesu akijua kuwa yote yamekwisha kumalizika ili kutimiza maandiko, akasema, “Naona kiu.”
29 Chombo kilichokuwa kimejaa Siki kilikuwa kimewekwa pale, kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea mdomoni mwake.
Yohana 19 in Biblia ya Kiswahili