Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 19:21-22 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 19:21-22 in Biblia Takatifu

21 Basi, makuhani wakuu wakamwambia Pilato, “Usiandike: Mfalme wa Wayahudi, ila Yeye alisema, Mimi ni Mfalme wa Wayahudi.”
22 Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”
Yohana 19 in Biblia Takatifu

Yohana 19:21-22 in Biblia ya Kiswahili

21 Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
Yohana 19 in Biblia ya Kiswahili