Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yohana 19:20-22 in Swahili (individual language)

Help us?

Yohana 19:20-22 in Biblia Takatifu

20 Wayahudi wengi waliisoma ilani hiyo, maana mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa karibu na mji. Tena ilani hiyo ilikuwa imeandikwa kwa Kiebrania, Kilatini, na Kigiriki.
21 Basi, makuhani wakuu wakamwambia Pilato, “Usiandike: Mfalme wa Wayahudi, ila Yeye alisema, Mimi ni Mfalme wa Wayahudi.”
22 Pilato akajibu, “Niliyoandika, nimeandika!”
Yohana 19 in Biblia Takatifu

Yohana 19:20-22 in Biblia ya Kiswahili

20 Wengi wa Wayahudi waliisoma alama hiyo kwani mahali pale aliposulibishwa Yesu palikuwa karibu na mji. Alama hiyo iliadikwa kwa Kiebrania, kwa Kirumi na kwa Kiyunani.
21 Kisha wakuu wa makuhani wa Wayahudi wakamwambia Pilato, “Usiandike, 'Mfalme wa Wayahudi; bali yeye alisema mimi ni mfalme wa Wayahudi.”
22 Naye Pilato akawajibu, “Niliyoandika nimeandika.”
Yohana 19 in Biblia ya Kiswahili