Text copied!
BREAK EVERY YOKE
About
Bibles
All Languages
All Translations
All Countries
Back to Homepage
About Break Every Yoke
Bibles in Swahili (individual language)
Warumi 2:11-12 in Swahili (individual language)
Help us?
Warumi 2:11-12
in
Biblia Takatifu
11
Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
12
Wale wanaotenda dhambi bila kuijua Sheria ya Mose wataangamia ingawaje hawajui Sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua Sheria watahukumiwa kisheria.
Warumi 2 in Biblia Takatifu
Warumi 2:11-12
in
Biblia ya Kiswahili
11
Kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
12
Kwa maana kama vile wengi waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na kama vile wengi waliokosa kulingana na sheria watahukumiwa kwa sheria.
Warumi 2 in Biblia ya Kiswahili
Home
About
Donate
Patreon
Privacy
Terms