Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Waraka kwa Waebrania 6:10 in Swahili (individual language)

Help us?

Waraka kwa Waebrania 6:10 in Biblia Takatifu

10 Mungu hakosi haki; yeye hataisahau kazi mliyoifanya au upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake katika huduma mliyowapa na mnayowapa sasa watu wake.
Waraka kwa Waebrania 6 in Biblia Takatifu

Wahebrania 6:10 in Biblia ya Kiswahili

10 Kwa kuwa Mungu si dhalimu hata asahau kazi yenu na kwa upendo mliouonesha kwa ajili ya jina lake, katika hili mliwatumikia waamini na bado mngali mnawatumikia.
Wahebrania 6 in Biblia ya Kiswahili