Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Waamuzi 19:16-17 in Swahili (individual language)

Help us?

Waamuzi 19:16-17 in Biblia ya Kiswahili

16 Lakini mtu mzee alikuwa akija kutoka kazini kwake katika shamba jioni hiyo. Alikuwa kutoka mlima wa Efraimu, naye alikuwa akikaa kwa muda huko Gibea. Lakini watu wanaoishi mahali hapo walikuwa Wabenyamini.
17 Aliinua macho na kumwona msafiri katika njia kuu ya jiji. Huyo mzee akasema, “Unakwenda wapi? Unatoka wapi?”
Waamuzi 19 in Biblia ya Kiswahili