Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 8:12-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 8:12-16 in Biblia ya Kiswahili

12 Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
13 Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
14 Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
15 Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16 Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
Mithali 8 in Biblia ya Kiswahili