12Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
13Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
14Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
15Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.