Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 7:6-13 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 7:6-13 in Biblia ya Kiswahili

6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
Mithali 7 in Biblia ya Kiswahili