Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 7:16-22 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 7:16-22 in Biblia ya Kiswahili

16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
Mithali 7 in Biblia ya Kiswahili