Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 6:8-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 6:8-15 in Biblia ya Kiswahili

8 lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
Mithali 6 in Biblia ya Kiswahili